Agano la Kale

Agano Jipya

Mathayo 27:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, “Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe.”

Kusoma sura kamili Mathayo 27

Mtazamo Mathayo 27:24 katika mazingira