Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 8:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Filipo akajiweka tayari, akaanza safari. Wakati huohuo kulikuwa na Mwethiopia mmoja, towashi, ambaye alikuwa anasafiri kuelekea nyumbani. Huyo mtu alikuwa mkurugenzi maarufu wa hazina ya Kandake, malkia wa Ethiopia. Alikuwa amekwenda huko Yerusalemu kuabudu na wakati huo alikuwa anarudi akiwa amepanda gari la kukokotwa.

Kusoma sura kamili Matendo 8

Mtazamo Matendo 8:27 katika mazingira