Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 6:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. Wakawachagua Stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujaa Roho Mtakatifu, Filipo, Prokoro, Nikanori, Timona, Parmena na Nikolao wa Antiokia ambaye wakati mmoja alikuwa ameongokea dini ya Kiyahudi.

Kusoma sura kamili Matendo 6

Mtazamo Matendo 6:5 katika mazingira