Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 6:3-6 Biblia Habari Njema (BHN)

3. Hivyo, ndugu zetu, chagueni miongoni mwenu watu saba wenye sifa njema, waliojawa na Roho na wenye hekima; nasi tutawakabidhi jukumu hilo.

4. Sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la Mungu.”

5. Jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. Wakawachagua Stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujaa Roho Mtakatifu, Filipo, Prokoro, Nikanori, Timona, Parmena na Nikolao wa Antiokia ambaye wakati mmoja alikuwa ameongokea dini ya Kiyahudi.

6. Wakawaweka mbele ya mitume, nao wakawaombea na kuwawekea mikono.

Kusoma sura kamili Matendo 6