Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 22:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka kujua mashtaka kamili ambayo Wayahudi walikuwa wamemwekea Paulo. Hivyo, alimfungua Paulo minyororo, akaamuru makuhani wakuu na Baraza lote wafanye kikao. Kisha alimleta Paulo, akamsimamisha mbele ya Baraza.

Kusoma sura kamili Matendo 22

Mtazamo Matendo 22:30 katika mazingira