Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 2:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi aliona kabla mambo yatakayofanywa na Mungu na hivyo akasema juu ya ufufuo wa Kristo wakati aliposema: ‘Hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza.’

Kusoma sura kamili Matendo 2

Mtazamo Matendo 2:31 katika mazingira