Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 18:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Paulo alikaa bado na wale ndugu huko Korintho kwa siku nyingi. Kisha aliwaaga, akapanda meli kwenda Siria pamoja na Priskila na Akula. Huko Kenkrea, alinyoa nywele zake kwa sababu ya nadhiri aliyokuwa ameweka.

Kusoma sura kamili Matendo 18

Mtazamo Matendo 18:18 katika mazingira