Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 18:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao wote wakamkamata Sosthene ambaye alikuwa kiongozi wa sunagogi, wakampiga palepale mbele ya mahakama. Lakini Galio hakujali kitendo hicho hata kidogo.

Kusoma sura kamili Matendo 18

Mtazamo Matendo 18:17 katika mazingira