Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 15:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya Paulo na Barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa Paulo na Barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la Antiokia waende Yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.

Kusoma sura kamili Matendo 15

Mtazamo Matendo 15:2 katika mazingira