Agano la Kale

Agano Jipya

Matendo 15:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, watu wengine walifika Antiokia kutoka Yudea wakaanza kuwafundisha wale ndugu wakisema, “Kama hamtatahiriwa kufuatana na mapokeo kama alivyoamuru Mose, hamtaweza kuokolewa.”

Kusoma sura kamili Matendo 15

Mtazamo Matendo 15:1 katika mazingira