Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 3:12-16 Biblia Habari Njema (BHN)

12. Lakini Yesu akawaamuru kwa ukali wasimjulishe kwa watu.

13. Yesu alipanda kilimani, akawaita wale aliowataka. Basi, wakamwendea,

14. naye akawateua watu kumi na wawili ambao aliwaita mitume, wakae naye, awatume kuhubiri

15. na wawe na uwezo wa kuwafukuza pepo.

16. Basi, hao kumi na wawili walioteuliwa ndio hawa: Simoni (ambaye Yesu alimpa jina, Petro),

Kusoma sura kamili Marko 3