Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 15:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipokuwa njiani, walikutana na mtu mmoja aitwaye Simoni, mwenyeji wa Kurene. Yeye alikuwa baba yao Aleksanda na Rufo, na wakati huo alikuwa akitoka shambani. Basi, wakamlazimisha achukue msalaba wa Yesu.

Kusoma sura kamili Marko 15

Mtazamo Marko 15:21 katika mazingira