Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 13:9 Biblia Habari Njema (BHN)

“Lakini nyinyi jihadharini. Maana watu watawapelekeni mahakamani, na kuwapigeni katika masunagogi. Mtapelekwa mbele ya watawala na wafalme kwa sababu yangu, ili mpate kunishuhudia kwao.

Kusoma sura kamili Marko 13

Mtazamo Marko 13:9 katika mazingira