Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 13:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Taifa moja litapigana na taifa lingine; ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine; kila mahali kutakuwa na mitetemeko ya ardhi na njaa. Mambo haya ni kama tu maumivu ya kwanza ya kujifungua mtoto.

Kusoma sura kamili Marko 13

Mtazamo Marko 13:8 katika mazingira