Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 13:5-7 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Yesu akaanza kuwaambia, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.

6. Maana wengi watakuja wakilitumia jina langu, kila mmoja akisema kuwa yeye ni mimi! Nao watawapotosha watu wengi.

7. Mtakaposikia juu ya vita na fununu za vita, msifadhaike. Mambo hayo lazima yatokee, lakini mwisho wenyewe ungali bado.

Kusoma sura kamili Marko 13