Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 12:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alianza kusema nao kwa mifano: “Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu. Akalizungushia ukuta, na katikati yake akachimba kisima cha kusindikia divai, akajenga mnara pia. Akalikodisha shamba hilo kwa wakulima, akasafiri hadi nchi ya mbali.

Kusoma sura kamili Marko 12

Mtazamo Marko 12:1 katika mazingira