19. na kutangaza mwaka wa neema ya Bwana.”
20. Baada ya kusoma, akafunga kile kitabu, akampa mtumishi, kisha akaketi; watu wote wakamkodolea macho.
21. Naye akaanza kuwaambia, “Andiko hili mlilosikia limetimia leo.”
22. Wote wakavutiwa sana naye, wakastaajabia maneno mazuri aliyosema. Wakasema, “Je, huyu si mwana wa Yosefu?”