Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 23:7-9 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Alipojua kwamba Yesu alikuwa chini ya utawala wa Herode, akampeleka kwa Herode, ambaye wakati huo alikuwa Yerusalemu.

8. Herode alifurahi sana alipomwona Yesu. Alikuwa amekwisha sikia habari zake, na hivyo alikuwa anatazamia kwa muda mrefu kumwona kwa macho yake mwenyewe. Zaidi ya hayo, alikuwa anatumaini kumwona Yesu akitenda mwujiza.

9. Basi, akamwuliza maswali mengi kwa muda mrefu, lakini Yesu hakumjibu neno.

Kusoma sura kamili Luka 23