Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 20:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka kwa wafu, hata Mose alithibitisha jambo hilo katika Maandiko Matakatifu. Katika sehemu ya Maandiko Matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja Bwana kama Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo.

Kusoma sura kamili Luka 20

Mtazamo Luka 20:37 katika mazingira