Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 2:36 Biblia Habari Njema (BHN)

Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.

Kusoma sura kamili Luka 2

Mtazamo Luka 2:36 katika mazingira