Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 16:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, akaita kwa sauti: ‘Babu Abrahamu, nionee huruma; umtume Lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka mno katika moto huu.’

Kusoma sura kamili Luka 16

Mtazamo Luka 16:24 katika mazingira