Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 14:34-35 Biblia Habari Njema (BHN)

34. “Chumvi ni nzuri; lakini ikipoteza ladha yake, itakolezwa na nini?

35. Haifai kitu wala kwa udongo wala kwa mbolea. Watu huitupilia mbali. Mwenye masikio na asikie!”

Kusoma sura kamili Luka 14