Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 11:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja, Yesu alikuwa mahali fulani akisali. Alipomaliza kusali, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, tunakuomba utufundishe kusali kama Yohane Mbatizaji alivyowafundisha wanafunzi wake.”

Kusoma sura kamili Luka 11

Mtazamo Luka 11:1 katika mazingira