Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wakorintho 2:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Basi, nimeamua nisiwatembelee tena kuwatia huzuni.

2. Maana nikiwahuzunisha nyinyi, basi, ni nani atakayenifariji? Ni walewale niliowahuzunisha!

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 2