Agano la Kale

Agano Jipya

1 Yohane 2:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Watoto wangu, ninawaandikieni mambo haya, kusudi msitende dhambi. Lakini, ikijatokea mtu akatenda dhambi, tunaye mmoja ambaye hutuombea kwa Baba, ndiye Yesu Kristo aliye mwadilifu kabisa.

Kusoma sura kamili 1 Yohane 2

Mtazamo 1 Yohane 2:1 katika mazingira