Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 16:13-17 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Kesheni, simameni imara katika imani, muwe hodari na wenye nguvu.

14. Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.

15. Ndugu, mnaifahamu jamaa ya Stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo katika Akaya, na wamejitolea kuwatumikia watu wa Mungu. Ninawasihi nyinyi ndugu zangu,

16. muufuate uongozi wa watu kama hao, na uongozi wa kila mtu afanyaye kazi na kutumika pamoja nao.

17. Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 16