22. Beth-araba, Zemaraimu, Betheli,
23. Avimu, Para, Ofra,
24. Kefar-amoni, Ofni na Geba. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
25. Miji mingine ni Gibeoni, Rama, Beerothi,
26. Mizpa, Kefira, Moza,
27. Rekemu, Irpeeli, Tarala,
28. Zela, Ha-elefu, Yebusi, yaani Yerusalemu, Gibea na Kiriath-yearimu. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na minne pamoja na vijiji vyake. Hiyo yote ni sehemu waliyopewa watu wa kabila la Benyamini na koo zao.