18. Huko kuzimu mtu hawezi kukushukuru wewe;waliokufa hawawezi kukushukuru wewe.Wala washukao huko shimonihawawezi tena kutumainia uaminifu wako.
19. Walio hai ndio wanaokushukuru,kama na mimi ninavyofanya leo.Kina baba huwajulisha watoto wao uaminifu wako.
20. “Mwenyezi-Mungu ataniokoa.Nasi tutamsifu kwa nyimbo za vinubisiku zote za maisha yetu,nyumbani kwake Mwenyezi-Mungu.”