Agano la Kale

Agano Jipya

Oba. 1:18 Swahili Union Version (SUV)

Na nyumba ya Yakobo itakuwa moto, na nyumba ya Yusufu itakuwa mwali wa moto, na nyumba ya Esau itakuwa mabua makavu, nao watawaka kati yao, na kuwateketeza; wala hatasalia mtu awaye yote katika nyumba ya Esau; kwa kuwa BWANA amesema hayo.

Kusoma sura kamili Oba. 1

Mtazamo Oba. 1:18 katika mazingira