Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 9:8 Swahili Union Version (SUV)

nawe ukauona moyo wake kuwa mwaminifu mbele zako, ukafanya agano naye, kumpa nchi ya Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Myebusi, na Mgirgashi, naam, kuwapa wazao wake; nawe umeyafikiliza maneno yako, kwa kuwa ndiwe mwenye haki.

Kusoma sura kamili Neh. 9

Mtazamo Neh. 9:8 katika mazingira