Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 8:9 Swahili Union Version (SUV)

Naye Nehemia, ndiye aliyekuwa Tirshatha, na Ezra kuhani, mwandishi, na Walawi waliowafundisha watu, wakawaambia watu wote, Siku hii ni takatifu kwa BWANA, Mungu wenu; msiomboleze wala msilie. Maana watu wote walilia, walipoyasikia maneno ya torati.

Kusoma sura kamili Neh. 8

Mtazamo Neh. 8:9 katika mazingira