Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 7:8-12 Swahili Union Version (SUV)

8. Wana wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.

9. Wana wa Shefatia, mia tatu sabini na wawili.

10. Wana wa Ara mia sita hamsini na wawili.

11. Wana wa Pahath-Moabu, wa wana wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wanane.

12. Wana wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.

Kusoma sura kamili Neh. 7