Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 7:7-19 Swahili Union Version (SUV)

7. ndio hawa waliokuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndiyo hesabu ya wanaume wa watu wa Israeli;

8. Wana wa Paroshi, elfu mbili mia moja sabini na wawili.

9. Wana wa Shefatia, mia tatu sabini na wawili.

10. Wana wa Ara mia sita hamsini na wawili.

11. Wana wa Pahath-Moabu, wa wana wa Yeshua na Yoabu, elfu mbili mia nane na kumi na wanane.

12. Wana wa Elamu, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.

13. Wana wa Zatu, mia nane arobaini na watano.

14. Wana wa Zakai, mia saba na sitini.

15. Wana wa Binui, mia sita arobaini na wanane.

16. Wana wa Bebai, mia sita ishirini na wanane.

17. Wana wa Azgadi, elfu mbili mia tatu ishirini na wawili.

18. Wana wa Adonikamu, mia sita sitini na saba.

19. Wana wa Bigwai, elfu mbili sitini na saba.

Kusoma sura kamili Neh. 7