Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 7:43-51 Swahili Union Version (SUV)

43. Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.

44. Waimbaji; Wana wa Asafu, mia moja arobaini na wanane.

45. Mabawabu; Wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni, wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, mia moja thelathini na wanane.

46. Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;

47. wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;

48. wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai;

49. wana wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari;

50. wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda;

51. wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea;

Kusoma sura kamili Neh. 7