Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 7:33-42 Swahili Union Version (SUV)

33. Watu wa Nebo, hamsini na wawili.

34. Wana wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.

35. Wana wa Harimu, mia tatu na ishirini.

36. Wana wa Yeriko, mia tatu arobaini na watano.

37. Wana wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na mmoja.

38. Watu wa Senaa, elfu tatu mia kenda na thelathini.

39. Makuhani; Wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia kenda sabini na watatu.

40. Wana wa Imeri, elfu moja hamsini na wawili.

41. Wana wa Pashuri, elfu moja mia mbili arobaini na saba.

42. Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.

Kusoma sura kamili Neh. 7