Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 7:32-47 Swahili Union Version (SUV)

32. Watu wa Betheli na Ai, mia moja ishirini na watatu.

33. Watu wa Nebo, hamsini na wawili.

34. Wana wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.

35. Wana wa Harimu, mia tatu na ishirini.

36. Wana wa Yeriko, mia tatu arobaini na watano.

37. Wana wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na mmoja.

38. Watu wa Senaa, elfu tatu mia kenda na thelathini.

39. Makuhani; Wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia kenda sabini na watatu.

40. Wana wa Imeri, elfu moja hamsini na wawili.

41. Wana wa Pashuri, elfu moja mia mbili arobaini na saba.

42. Wana wa Harimu, elfu moja na kumi na saba.

43. Walawi; Wana wa Yeshua, wa Kadmieli wa wana wa Hodavia, sabini na wanne.

44. Waimbaji; Wana wa Asafu, mia moja arobaini na wanane.

45. Mabawabu; Wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni, wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, mia moja thelathini na wanane.

46. Wanethini; wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi;

47. wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni;

Kusoma sura kamili Neh. 7