Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 7:26-34 Swahili Union Version (SUV)

26. Watu wa Bethlehemu na Netofa, mia na themanini na wanane.

27. Watu wa Anathothi, mia na ishirini na wanane.

28. Watu wa Beth-Azmawethi, arobaini na wawili.

29. Watu wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi, mia saba arobaini na watatu.

30. Watu wa Rama na Geba, mia sita na ishirini na mmoja.

31. Watu wa Mikmashi, mia moja na ishirini na wawili.

32. Watu wa Betheli na Ai, mia moja ishirini na watatu.

33. Watu wa Nebo, hamsini na wawili.

34. Wana wa Elamu wa pili, elfu moja mia mbili hamsini na wanne.

Kusoma sura kamili Neh. 7