Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 7:19-32 Swahili Union Version (SUV)

19. Wana wa Bigwai, elfu mbili sitini na saba.

20. Wana wa Adini, mia sita hamsini na watano.

21. Wana wa Ateri, wa Hezekia, tisini na wanane.

22. Wana wa Hashumu, mia tatu ishirini na wanane.

23. Wana wa Besai, mia tatu ishirini na wanne.

24. Wana wa Harifu, mia moja na kumi na wawili.

25. Wana wa Gibeoni, tisini na watano.

26. Watu wa Bethlehemu na Netofa, mia na themanini na wanane.

27. Watu wa Anathothi, mia na ishirini na wanane.

28. Watu wa Beth-Azmawethi, arobaini na wawili.

29. Watu wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi, mia saba arobaini na watatu.

30. Watu wa Rama na Geba, mia sita na ishirini na mmoja.

31. Watu wa Mikmashi, mia moja na ishirini na wawili.

32. Watu wa Betheli na Ai, mia moja ishirini na watatu.

Kusoma sura kamili Neh. 7