Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 7:14-19 Swahili Union Version (SUV)

14. Wana wa Zakai, mia saba na sitini.

15. Wana wa Binui, mia sita arobaini na wanane.

16. Wana wa Bebai, mia sita ishirini na wanane.

17. Wana wa Azgadi, elfu mbili mia tatu ishirini na wawili.

18. Wana wa Adonikamu, mia sita sitini na saba.

19. Wana wa Bigwai, elfu mbili sitini na saba.

Kusoma sura kamili Neh. 7