Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 6:10 Swahili Union Version (SUV)

Nikaingia nyumbani kwa Shemaya, mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, aliyekuwa amefungwa; naye akasema, Tukutane nyumbani mwa Mungu, ndani ya hekalu, tukaifunge milango ya hekalu; kwa maana watakuja kukuua; naam, wakati wa usiku watakuja kukuua.

Kusoma sura kamili Neh. 6

Mtazamo Neh. 6:10 katika mazingira