Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 5:8 Swahili Union Version (SUV)

Nikawaambia, Sisi kwa kadiri ya uwezo wetu tumewakomboa ndugu zetu Wayahudi, waliouzwa kwa makafiri; na ninyi mnataka kuwauza ndugu zenu, tena kuwauza ili sisi tuwanunue? Wakanyamaza kimya, wasiweze kusema neno lo lote.

Kusoma sura kamili Neh. 5

Mtazamo Neh. 5:8 katika mazingira