Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 5:17-19 Swahili Union Version (SUV)

17. Pamoja na hayo wakawako mezani pangu, katika Wayahudi na mashehe, watu mia na hamsini, zaidi ya wale waliotujia kutoka kwa makafiri waliotuzunguka.

18. Basi, maandalio yaliyoandaliwa kwa siku moja yalikuwa ng’ombe mmoja, na kondoo wazuri sita; tena nikaandaliwa kuku, na mara moja katika siku kumi akiba ya mvinyo ya namna zote; wala kwa hayo yote sikukidai chakula cha liwali, kwa kuwa utumwa ulikuwa mzito juu ya watu hao.

19. Unikumbukie, Ee Mungu wangu, kwa mema, yote niliyowafanyia watu hawa.

Kusoma sura kamili Neh. 5