Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 4:2 Swahili Union Version (SUV)

Akanena mbele ya nduguze na mbele ya jeshi la Samaria, akisema, Wayahudi hawa wanyonge wanafanyaje? Je! Watajifanyizia boma? Watatoa dhabihu? Au watamaliza katika siku moja? Je! Watayafufua mawe katika chungu hizi za kifusi, nayo yameteketezwa kwa moto?

Kusoma sura kamili Neh. 4

Mtazamo Neh. 4:2 katika mazingira