Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 3:6 Swahili Union Version (SUV)

Na lango la kale wakalifanyiza Yoyada, mwana wa Pasea, na Meshulamu, mwana wa Besodeya; wakazitia boriti zake, wakaisimamisha milango yake, na vyuma vyake, na makomeo yake.

Kusoma sura kamili Neh. 3

Mtazamo Neh. 3:6 katika mazingira