Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 2:19 Swahili Union Version (SUV)

Lakini waliposikia Sanbalati, Mhoroni, na Tobia, mtumishi wake, Mwamoni, na Geshemu, Mwarabu, walitucheka, wakatudharau, wakasema, Ni nini neno hili mnalofanya? Je! Mtaasi ninyi juu ya mfalme?

Kusoma sura kamili Neh. 2

Mtazamo Neh. 2:19 katika mazingira