Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 13:5 Swahili Union Version (SUV)

alikuwa amemtengenezea chumba kikubwa, hapo walipoweka zamani sadaka za unga, na ubani, na vyombo, na zaka za nafaka, na divai, na mafuta, walivyoamriwa kuwapa Walawi, na waimbaji, na mabawabu; tena sadaka za kuinuliwa zilizokuwa za makuhani.

Kusoma sura kamili Neh. 13

Mtazamo Neh. 13:5 katika mazingira