Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 13:26 Swahili Union Version (SUV)

Je! Sulemani, mwana wa Daudi, hakufanya dhambi kwa kutenda hayo? Lakini katika mataifa mengi hapakuwa na mfalme mwingine mfano wake. Tena alipendwa na Mungu wake, naye Mungu akamfanya mfalme juu ya Israeli; walakini wanawake wageni walimkosesha hata yeye.

Kusoma sura kamili Neh. 13

Mtazamo Neh. 13:26 katika mazingira