Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 13:1 Swahili Union Version (SUV)

Siku hiyo walisoma katika kitabu cha Musa masikioni mwa watu; na ndani yake yalionekana maneno haya yameandikwa, ya kwamba Mwamoni na Mmoabi wasiingie katika kusanyiko la Mungu milele;

Kusoma sura kamili Neh. 13

Mtazamo Neh. 13:1 katika mazingira