Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 12:44 Swahili Union Version (SUV)

Na siku hiyo watu wakaagizwa juu ya vyumba vya hazina, kwa sadaka za kuinuliwa, na kwa malimbuko, na kwa zaka, ili kuzikusanya, kwa kadiri ya mashamba ya miji, sehemu zilizoamriwa katika torati za makuhani, na Walawi; kwa maana Yuda waliwafurahia makuhani na Walawi waliotumika.

Kusoma sura kamili Neh. 12

Mtazamo Neh. 12:44 katika mazingira