Agano la Kale

Agano Jipya

Neh. 12:16-25 Swahili Union Version (SUV)

16. wa Ido, Zekaria; wa Ginethoni, Meshulamu;

17. wa Abia, Zikri; wa Miyamini; wa Maazia, Piltai;

18. wa Bilgai, Shamua; wa Shemaya, Yehonathani;

19. wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;

20. wa Salu, Kalai; wa Amoki, Eberi;

21. wa Hilkia, Hashabia; wa Yedaya, Nethaneli.

22. Walawi siku za Eliashibu, na Yoyada, na Yohana, na Yadua, wameandikwa wakuu wa mbari za mababa; tena na makuhani; hata siku za kumiliki kwake Dario, Mwajemi.

23. Wana wa Lawi, wakuu wa mbari za mababa, wameandikwa katika kitabu cha tarehe, hata siku za Yohana mwana wa Eliashibu.

24. Nao wakuu wa Walawi; Hashabia, Sherebia, Yeshua, Binui, Kadmieli, na ndugu zao kuwaelekea, ili kusifu na kushukuru, kama amri ya Daudi, mtu wa Mungu, zamu kwa zamu.

25. Matania, Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni, na Akubu, walikuwa mabawabu, wa kulinda nyumba za hazina penye malango.

Kusoma sura kamili Neh. 12